Hotuba ya Rais Joyce Banda wakati anafungua Mkutano hii hapa:
http://www.scribd.com/doc/160844498/...ficial-Opening
Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania akilakiwa na Rais Joyce Banda
wa Malawi muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
kimatafifa wa Lilongwe tayari kuhudhuria mkutano wa wakuu wa nchi za
SADC




President Kikwete arrives in Malawi to attend the 33rd Heads of State and Government SADC Summit

H.E. Joyce
Banda, President of the Republic of Malawi awaits the arrival of H.E.
Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania late
this afternoon at the Kamuzu International Airport in Lilongwe, Malawi.

Tanzania and Malawi Government Officials awaiting the arrival of President Kikwete. Right
is Ambassador Patrick Tsere, High Commissioner of the United Republic
of Tanzania in Malawi, Hon. Dr. William Augustao Mgimwa (MP) (3rd right), Minister for Finance and Ambassador Flossie Gomile-Chidyaonga (2nd left), High Commissioner of Malawi in Tanzania.

President
Kikwete descending the stairs upon his arrival at the Kamuzu
International Airport in Lilongwe, Malawi late this afternoon. President
Kikwete is in Malawi ready to attend the 33rd Heads of State and
Government SADC Summit to be held at the Bingu International Conference
Centre.

President Joyce Banda of Malawi welcomes her counterpart, President Jakaya Kikwete of Tanzania.

President Kikwete listens to a young boy whispering "when I grow up, I want to be a President just like you", just upon his arrival late this afternoon in Lilongwe, Malawi.

President Kikwete impressively gives a young boy a present, while President Joyce Banda of Malawi witnesses the special moment.

The Presidents share a light moment as they walk towards the Guard of Honor.

H.E. President
Jakaya Mrisho Kikwete inspects the Guard of Honor upon his arrival at
the Kamuzu International Airport in Lilongwe, Malawi.

President Jakaya
Kikwete of Tanzania and his counterpart President Joyce Banda of Malawi
observing National Anthems of both countries.

President
Kikwete addresses members of media who had surrounded him to inquiry
about his expectation towards the 33rd Heads of State and Government
SADC Summit scheduled to convene on the 17th to 18th of August, 2013.

Some women who have gathered to perform traditional dancing were also in hand to welcome President Kikwete.

More of traditional entertainments.

A group photo of Hon. Dr. William Augustao Mgimwa (MP) (left), Minister for Finance, Hon. Ephraim Chiume (MP) (center),
Minister for Foreign Affairs in Malawi and Ambassador Patrick Tsere,
High Commissioner of the United Republic of Tanzania in Malawi.

Hon. Chiume and Ambassador Tsere share some few laughters.

Hon. Bernard K. Membe (MP) (fourth left), Minister
for Foreign Affairs and International Co-operation in a discussion with
Tanzania delegation. In the photo are Ambassador Radhia Msuya (left), High Commissioner of Tanzania in South Africa, Ambassador Adadi Rajab (2nd left), High Commissioner of Tanzania in Zimbabwe and Ambassador Rajabu Gamaha (3rd left),
Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Foreign Affairs and
International Co-operation. Also in the photo is Ambassador Patrick
Tsere (3rd right), High Commissioner of Tanzania in Malawi and two Senior Advisors to President Kikwete.

Hon. Membe discusses something with Ambassador Tsere, while Ambassador Rajabu Gamaha (left), and Dr. Laurean Ndumbaro, Political Advisor to President Kikwete listen.
ORODHA YA MAJINA YA WAUZA UNGA TANZANIA
MTANZANIA AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA LEO CHINA
Kwa mara nyingine, maafisa wa Hong Kong katika kiwanja cha ndege
wamefanikiwa kukamata dawa za kulevya zilizokuwa zinasafirishwa kutokea
Tanzania safari hii zikiwa zimefichwa katikati ya chuma cha mashine.
Dawa hizo aina ya heroin zilikamatwa katika nyakati mbili tofauti kwa
jumla zikiwa na kilo 1.5 na thamani ya dola milioni 1.3 za Marekani.
Maafisa hao wanasema kwa kuwa wamekuwa wakifuatilia kwa karibu nyendo za
wauza dawa na mbinu za kuficha dawa hizo, walilazimika kukikata chuma
cha mashine hiyo ili kuziona.
Adhabu ya kupatikana na dawa za kulevya huko Hong Kong ni faini ya dola milioni 5 za Kimarekani.
Taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti ya Serikali ya nchi hiyo na picha zinazoambatana na taarifa hiyo vimepachikwa hapo chini.

Mdau mmoja kanitupia siri hii
Ndg yangu nchi hìi ilishauzwa! Kama hauamin amin kuanzia leo. Kuna
jamaa anaitwa kanesa mjomba wake kikwete alimuuzia mhindi acre elf 41
maeneo ya kibiti- ngulakula barabara ya kwenda mbuga ya selui. Je kuna
mtz mwenye eneo kiasi hcho! Nilikuwa nafanya kaz pale kama agronomist
lakin nimekimbia coz jamaa pamoja na kufnga mkataba kuwa inatakiwa
azalishe chakula ila hana mpango wa kilimo yeye anavuna mbao na mkaa2
huku akiacha jangwa masikini ya mungu wananch wa mazingra yale hata
hawajitambui ukiwashauri kwanza ndio wanakuona unawazibia rizki. Mhindi
hyo pamoja na kuwa na acre kiasi hcho ana tractor mbili na majembe
matatu tu yaan rotarvator moja, plough disk lenye majembe mawili tu, na
harrow disk moja tu ila kilichoniumiza mpaka nimemkimbia et eneo la
acre elfu tatu anafanya land preparation kwa kutoa visiki kwa kuumiza
watu yaan casual labour eti ana minimize cost. Nilifanikiwa kuona
mkataba wake ulioko kwa mtendaji wa kijiji kile inasikitisha sana. Plz
kama ukitaka maelezo zaid kuhusiana na unyanyasaji huu plz find me
ntakupa full details ikiwezeka makamanda wangu mkataba ule uchungzwe.
Pia nimesahau eneo lile ni karibu na mbuga sio wanyama wanapotea
mazingra yale jaman tz tunapelekwa wapi! Nilisha wahi kumwandikia
maelekezo kama haya mh. Zito na mnyika kwenye fb ila sijaona response.
Plz mkuu ukiiweka waz hide my name.