TANZANIA INAUZWA JAMAN
Mdau mmoja kanitupia siri hii
Ndg yangu nchi hìi ilishauzwa! Kama hauamin amin kuanzia leo. Kuna
jamaa anaitwa kanesa mjomba wake kikwete alimuuzia mhindi acre elf 41
maeneo ya kibiti- ngulakula barabara ya kwenda mbuga ya selui. Je kuna
mtz mwenye eneo kiasi hcho! Nilikuwa nafanya kaz pale kama agronomist
lakin nimekimbia coz jamaa pamoja na kufnga mkataba kuwa inatakiwa
azalishe chakula ila hana mpango wa kilimo yeye anavuna mbao na mkaa2
huku akiacha jangwa masikini ya mungu wananch wa mazingra yale hata
hawajitambui ukiwashauri kwanza ndio wanakuona unawazibia rizki. Mhindi
hyo pamoja na kuwa na acre kiasi hcho ana tractor mbili na majembe
matatu tu yaan rotarvator moja, plough disk lenye majembe mawili tu, na
harrow disk moja tu ila kilichoniumiza mpaka nimemkimbia et eneo la
acre elfu tatu anafanya land preparation kwa kutoa visiki kwa kuumiza
watu yaan casual labour eti ana minimize cost. Nilifanikiwa kuona
mkataba wake ulioko kwa mtendaji wa kijiji kile inasikitisha sana. Plz
kama ukitaka maelezo zaid kuhusiana na unyanyasaji huu plz find me
ntakupa full details ikiwezeka makamanda wangu mkataba ule uchungzwe.
Pia nimesahau eneo lile ni karibu na mbuga sio wanyama wanapotea
mazingra yale jaman tz tunapelekwa wapi! Nilisha wahi kumwandikia
maelekezo kama haya mh. Zito na mnyika kwenye fb ila sijaona response.
Plz mkuu ukiiweka waz hide my name.
No comments:
Post a Comment